ECOWAS KUPIGA MARUFUKU MTANDIO - ABETIGER UPDATES <script async='async' src='//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js'></script> <!-- Adslinks --> <ins class='adsbygoogle' data-ad-client='ca-pub-9050840540045431' data-ad-format='auto' data-ad-slot='2619472872' style='display:block'></ins> <script> (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); </script>

ECOWAS KUPIGA MARUFUKU MTANDIO



ECOWAS yapanga kupiga marufuku mtandio


Image cop

yrigh.
Mkutano wa ECOWAS uliofanyika mjini Abuja Nigeria umesema mtandio huu wa hadi uso unayumbisha operesheni za maafisa wa usalama katika kuwanasa wahalifu.
vazi la mtandioImage copyrightGetty
Image captionEcowas inasema walinda usalama wanashindwa kuwatambua wahalifu waliovalia mtandio unaofunika uso
Kaskazini mwa Nigeria wapiganaji wa Boko Haram wamekua wakiwatumia wasichana wadogo na wanawake kutekeleza mashambulio ya kujitoa mhanga.
Walipuaji wamekua wakivalia mavazi mapana na kuficha mabomu ndani ya mavazi hayo. Kundi hilo pia limetumia mbinu hiyo katika mataifa ya Cameroon, Chad na Niger ambayo yanashiriki katika operesheni dhidi ya Boko Haram.

About Tiger

Tiger
Recommended Posts × +

0 comments:

Post a Comment