Kwa Picha: Miji ilivyoukaribisha mwaka mpya 2016. - ABETIGER UPDATES <script async='async' src='//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js'></script> <!-- Adslinks --> <ins class='adsbygoogle' data-ad-client='ca-pub-9050840540045431' data-ad-format='auto' data-ad-slot='2619472872' style='display:block'></ins> <script> (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); </script>

Kwa Picha: Miji ilivyoukaribisha mwaka mpya 2016.

Watu katika miji mbalimbali walijitokeza kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2016 kwa njia mbalimbali. Huu hapa ni mkusanyiko wa picha za hali ilivyokuwa.
Australia ilikuwa moja ya nchi za kwanza kuingia mwaka 2016, fataki zinaonekana hapa juu ya jumba la Opera House na daraja la Harbour Bridge.
Sydney
Mjini Sydney
Mjini Paris, watu walikusanyika Champs Elysees kutazama video ya Mwaka Mpya iliyoonyeshwa katika Arc de Triomphe.
Paris
Paris
Nchini India, mwanamume huyo alitumia nyanya, vitunguu na pilipili kuandika 2016.
Nyanya
India
Hapa, mwanamume anaonekana akitembea karibu na mapambo yaliyoandika 2016 katika mji wa Kiev, nchini Ukraine. GDP ya taifa hilo ilishuka asilimia 9 mwaka 2015.
Kiev

Mjini Beijing watu wengi waikusanyika kwa hafla iliyokuwa Hekalu la Tai Miao karibu na Forbidden City mjini Beijing.
Beijing

About Tiger

Tiger
Recommended Posts × +

0 comments:

Post a Comment