Watu katika miji mbalimbali walijitokeza kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2016 kwa njia mbalimbali. Huu hapa ni mkusanyiko wa picha za hali ilivyokuwa.
Australia ilikuwa moja ya nchi za kwanza kuingia mwaka 2016, fataki zinaonekana hapa juu ya jumba la Opera House na daraja la Harbour Bridge.
| Mjini Sydney |
Mjini Paris, watu walikusanyika Champs Elysees kutazama video ya Mwaka Mpya iliyoonyeshwa katika Arc de Triomphe.
| Paris |
| India |
Mjini Beijing watu wengi waikusanyika kwa hafla iliyokuwa Hekalu la Tai Miao karibu na Forbidden City mjini Beijing.

0 comments:
Post a Comment