KOLABO YA BOB JUNIOR & DIAMOND PLATNUMZ YAKAMILIKA - ABETIGER UPDATES <script async='async' src='//pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js'></script> <!-- Adslinks --> <ins class='adsbygoogle' data-ad-client='ca-pub-9050840540045431' data-ad-format='auto' data-ad-slot='2619472872' style='display:block'></ins> <script> (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); </script>

KOLABO YA BOB JUNIOR & DIAMOND PLATNUMZ YAKAMILIKA

Muimbaji na mtayarishaji wa muziki wa Sharobaro Records, Bob Junior amesema tayari kolabo yake na Diamond imekamilika.
Image result for bob junior and diamond platnumz
BOB JUNIOR


Ameutaja wimbo huo kuwa unaitwa ‘I Am Praying for You.
Bob ameiambia Bongo5 kuwa kazi hiyo imechukua muda mrefu kukamilika kutokana na wawili hao kuwa busy.
“Naomba Mungu kazi itoke mwaka huu kwa sababu itakavyozidi kuchelewa itakuwa ni issue nyingine. Kazi imekamilika kwa kiasi chake ndio maana nasema itatoka mwaka huu,” amesema.
Bob Junior pia amewataka mashabiki wake kuwa na subira licha ya kuwaahidi mara kadhaa kuachia kazi mpya.

About Tiger

Tiger
Recommended Posts × +

0 comments:

Post a Comment